News
MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruweshi Saliboko amesema anaupenda aina ya uchezaji wa straika wa Simba, Steven Mukwala kutokana na ...
KIUNGO wa Tanzania Prisons, Haruna Chanongo amesema wana dakika 270 ngumu za maamuzi ya timu hiyo kusalia Ligi Kuu au la, ...
BAADA ya ndoto za Azam kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu kuota mbawa, kocha Rachid Taoussi kwa sasa amehamishia nguvu ...
Shabiki wa Yanga ambaye amejitambulisha kwa jina la Malik amesema kwamba amesafiri kutoka Shinyanga kwa ajili ya kuwashuhudia ...
Mashabiki wa Simba ambao wamesafiri kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaamini kuwa timu yao itaimaliza vizuri mechi ya ...
UUMEONA jinsi juzi mitandao ya kijamii ilivyochafuliwa na harusi ya Jux iliyofanyika huko Nigeria? Sio Instagram, Tiktok, X ...
Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora wa Wekundu wa Msimbazi hauishii ...
SIKU chache baada ya mshambuliaji Yusuph Athuman kutambulishwa na Yangon United ya Ligi Kuu Myanmar, uongozi wa Fountain Gate imeibuka na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao halali.
YANGA ipo safarini kuifuata Fountain Gate kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara inayopigwa Jumatatu, huku taarifa mbaya kwa mashabiki ...
Uongozi wa Tabora United jana usiku, Aprili 18, 2025 umetangaza kuachana na kocha Genesis Mangombe kutoka Zimbabwe kutokana ...
Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mechi ya nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na Stellenbosch ...
Kwa mara nyingine macho na masikio ya wapenda soka yataelekezwa Zanzibar, Jumapili hii, pale Simba itakapoumana na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results